Recent content by Dav-max

  1. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    Asili yangu nikitaa huko ndiko nilikotokea na Bado sijawahi kutoka ko nivile tu naona nyumbani kumenoga.Asante Kwa comment Yako.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    🙏
  3. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    Respect!!
  4. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    Asante Kwa mchongo wako. See you at the top!
  5. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    Exactly, kama hujaingia kwenye mfumo huwezi jua,, wakati naajiriwa nilipoona basic nikajisemea kuwa hapa naenda kujimeki na kutengeneza maisha yangu haraka sana, alooooh, sikujua kuwa Kuna basic and take home nilichoka😃
  6. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    Shukurani sana jasiri mwongoza njia.♥️
  7. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    Nipo nipo kijijini kunako elekea kuwa mjini bahati mbaya huku kilimo siyo mahala pake ni Sehemu ya wachimbaji aridhi haisaport kilimo.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    Mbn kama inakaa hivyo inakuwa unyama mwingi maana hata mafao sitaki coz Kwa kikokotoo hiki mafao yenyewe kuyapata ni mziki mwingine.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    Hakika mkuu kweli tupu! Perfect said💪
  10. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    🤣🤣🤣 Asante Kwa kusema ukweli!!! Mfanyakazi ndo analipia Kodi kuliko mtu yeyote Tanzania na Hana kwakukwepea
  11. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    🙏
  12. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    🤣🤣🤣
  13. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    Sidaiwi chochote bro, nimeweka sawa kuwa natamani kukopa afu ndo nitembee na sitaki kuanzia kufuatilia et mafao naona yatanitoa kwenye focus nataka nikitoka nimetoka naenda kwenye ku implement project zangu
  14. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    Kweli mkuu,, ukiwa na dream kubwa unazikwa nazo
  15. D

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kuajiriwa, nataka kujiajiri

    Shukran sana mkuu
Back
Top Bottom