jamani kuweni waelewa kidogo sijapost hili kuchat au jokes watu I'm serious nimeshindwa kuweka picha kwa sababu mtandao unasumbua nashindwa ku upload picha so kwa anayeitaji kuiyona anicheki kwa namba hiyo then nikakutumia ukaiyona na mambo mengine yakaendelea
Nyumba ya kisasa inauzwa ipo chanika buyuni ina vyumba vitatu vitatu viwili self contained na kingine cha kawaida pia nje ina servant quarter nayo ni self contained kiwanja kina hati ,fance gate ukubwa wa kiwanja ni sqm 660 bei 85milion mazungumzo yapo 0674673925
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.