Recent content by DART Mwendokasi

  1. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Mradi wa Mwendokasi Awamu ya Pili wazinduliwa Rasmi. Mh.Rais Asisitiza wananchi kuwa walinzi wa miundombinu.
  2. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    TANGAZO: Tunapenda kuwajulisha wadau wote wa usafiri wa umma Jijini Dar es Salaam, watumiaji wa usafiri wa Mwendokasi pamoja na wadau wote wa mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuwa tutakuwa katika Maonyesho ya Kimataifa ya 50 ya Biashara (DITF) kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere katika...
  3. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Ubabaifu uko wapi ndugu? aliyekwambia tuna shida ya Mabasi ni nani? na je huoni namna watoa huduma wetu wote wanavyozidi kuongeza idadi ya Mabasi? na Je? unajua kule Mbagala peke yake kuna idadi gani ya magari? fanya utafiti wako ikiwezekana uende uone idadi kubwa ya mabasi mapya yasiyokuwa na...
  4. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    TANGAZO. Kwa kutambua mchango wa Sekta binafsi katika utoaji wa huduma ya usafiri, pamoja na kero ya msongamano katika eneo letu la MBAGALA, Serikali imezielekeza Daladala zote zilizokuwa zikitoa huduma kituo cha MBAGALA Ragi Tatu, kuhamia rasmi ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi ya Mwendokasi...
  5. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Mara bada ya kukamilika kwa miundombinu huduma hiyo itarejea , na taarifa rasmi itatolewa tafadhali endelea kutufuatilia kwenye mitandao yetu ya kijamii ya Facebook, Instagram, X ama zamani Twitter na Linkedin kwa anuani ya @DARTMwendokasi, pamoja na DART TV kwenye YouTube.
  6. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Tunapenda kuwafahamisha wateja wetu wa Mabasi Yaendayo Haraka kuwa hairuhusiwi kulipa pesa taslimu kwenye ulipaji wa nauli abiria unatakiwa kulipa nauli yako kwa kutumia Kadi Janja ama Programu tumizi (App) ya Mwendokasi pekee. Kumejitokeza baadhi ya watumishi wasio waaminifu ambao kwa makusudi...
  7. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania Mabasi mapya ya mwendokasi hayana hata wiki yameanza kubuma barababarani?

    Ukweli huu hapa tusilete taharuki kwa wana mbagala.
  8. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Ufafanuzi juu ya Basi Jipya lililonekana katika mitandao ya kijamii likidaiwa kuwa ni bovu
  9. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    https://www.jamiiforums.com/threads/dart-marufuku-watoa-huduma-binafsi-kutoa-taarifa-za-usafiri-wa-mwendokasi-brt-ikiwemo-mikataba.2371765/
  10. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Mwendokasi ina mabasi 60 tu, mara ya kwanza yalikuwa takribani 200"

    Maswali yale aliulizwa mtu wa UDART sio wa DART jielimishe zaidi kuhusu mradi huu.
  11. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    kila kitu kiko sawa maandalizi yamekamilika na watu wetu wa operesheni wamejipanga vilivyo kuhakikisha mambo yanakuwa sawa.
  12. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Kubadili namba inawezekana kabisa unatakiwa kufika na kadi yako mahali uliposajilia kadi mwambie muhusika wa usajili tatizo lako yeye atawasiliana na watu wetu wa Tehama watakurekebishia bila shaka. Kuhusu watoa huduma wetu tunaendelea kuwapa elimu kila mara ya namna ya kuhudumia wateja , wakati...
  13. DART Mwendokasi

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Tuliposema mkae mkao wa kula tulimaanisha, sasa tumeshakabidhiwa mzigo na tayari umeshapakiwa kwenye meli uko njiani unakuja mwezi ujao ama kwa hakika mambo yatakuwa mazuri sana, tuendelee kuiamini serikali wakati ikiendelea kutafuta mwarobaini wa upungufu wa Mabasi katika mradi mzima wa...
Back
Top Bottom