TANGAZO:
Tunapenda kuwajulisha wadau wote wa usafiri wa umma Jijini Dar es Salaam, watumiaji wa usafiri wa Mwendokasi pamoja na wadau wote wa mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuwa tutakuwa katika Maonyesho ya Kimataifa ya 50 ya Biashara (DITF) kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere katika...
Ubabaifu uko wapi ndugu? aliyekwambia tuna shida ya Mabasi ni nani? na je huoni namna watoa huduma wetu wote wanavyozidi kuongeza idadi ya Mabasi? na Je? unajua kule Mbagala peke yake kuna idadi gani ya magari? fanya utafiti wako ikiwezekana uende uone idadi kubwa ya mabasi mapya yasiyokuwa na...
TANGAZO.
Kwa kutambua mchango wa Sekta binafsi katika utoaji wa huduma ya usafiri, pamoja na kero ya msongamano katika eneo letu la MBAGALA, Serikali imezielekeza Daladala zote zilizokuwa zikitoa huduma kituo cha MBAGALA Ragi Tatu, kuhamia rasmi ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi ya Mwendokasi...
Mara bada ya kukamilika kwa miundombinu huduma hiyo itarejea , na taarifa rasmi itatolewa tafadhali endelea kutufuatilia kwenye mitandao yetu ya kijamii ya Facebook, Instagram, X ama zamani Twitter na Linkedin kwa anuani ya @DARTMwendokasi, pamoja na DART TV kwenye YouTube.
Tunapenda kuwafahamisha wateja wetu wa Mabasi Yaendayo Haraka kuwa hairuhusiwi kulipa pesa taslimu kwenye ulipaji wa nauli abiria unatakiwa kulipa nauli yako kwa kutumia Kadi Janja ama Programu tumizi (App) ya Mwendokasi pekee. Kumejitokeza baadhi ya watumishi wasio waaminifu ambao kwa makusudi...
Kubadili namba inawezekana kabisa unatakiwa kufika na kadi yako mahali uliposajilia kadi mwambie muhusika wa usajili tatizo lako yeye atawasiliana na watu wetu wa Tehama watakurekebishia bila shaka. Kuhusu watoa huduma wetu tunaendelea kuwapa elimu kila mara ya namna ya kuhudumia wateja , wakati...
Tuliposema mkae mkao wa kula tulimaanisha, sasa tumeshakabidhiwa mzigo na tayari umeshapakiwa kwenye meli uko njiani unakuja mwezi ujao ama kwa hakika mambo yatakuwa mazuri sana, tuendelee kuiamini serikali wakati ikiendelea kutafuta mwarobaini wa upungufu wa Mabasi katika mradi mzima wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.