Tunajibu hoja zenu mara kwa mara maana ndio wajibu wetu, kuhusu kadi kuna baadhi ya mambo yanakamilishwa na muda sio mrefu zitaanza kupatikana. Tuendelee kuwa na subra kidogo. Asante.
Tunakushukuru kwa maoni yako ndugu Anonyimous , Mradi wa DART maarufu kama Mwendokasi ni mradi wa Kimataifa sio kama hapa kwetu Tanzania ndio wa kwanza, usanifu wa mradi huu unataka vituo vikuu (Terminals tu) ndio ziwe na vyoo, mfano Mbagala kuna vyoo kadhalika na Kivukoni kuna vyoo pia, kwa...
Je umepakua Mwendokasi App kwenye simu yako? hakika hutajuta pakua sasa Mwendokasi App ili urahisishe ulipaji wa nauli vituoni kama huna kadi ya Mwendokasi. Mwendokasi App ni njia rahisi na salama. Kwa maelezo zaidi tufuatilie kwenye mitando yetu ya kijamii kwa anuani za DART Mwendokasi, ama...
TANGAZO:
Tunapenda kuwajulisha wadau wote wa usafiri wa umma Jijini Dar es Salaam, watumiaji wa usafiri wa Mwendokasi pamoja na wadau wote wa mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuwa tutakuwa katika Maonyesho ya Kimataifa ya 50 ya Biashara (DITF) kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere katika...
Ubabaifu uko wapi ndugu? aliyekwambia tuna shida ya Mabasi ni nani? na je huoni namna watoa huduma wetu wote wanavyozidi kuongeza idadi ya Mabasi? na Je? unajua kule Mbagala peke yake kuna idadi gani ya magari? fanya utafiti wako ikiwezekana uende uone idadi kubwa ya mabasi mapya yasiyokuwa na...
TANGAZO.
Kwa kutambua mchango wa Sekta binafsi katika utoaji wa huduma ya usafiri, pamoja na kero ya msongamano katika eneo letu la MBAGALA, Serikali imezielekeza Daladala zote zilizokuwa zikitoa huduma kituo cha MBAGALA Ragi Tatu, kuhamia rasmi ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi ya Mwendokasi...
Mara bada ya kukamilika kwa miundombinu huduma hiyo itarejea , na taarifa rasmi itatolewa tafadhali endelea kutufuatilia kwenye mitandao yetu ya kijamii ya Facebook, Instagram, X ama zamani Twitter na Linkedin kwa anuani ya @DARTMwendokasi, pamoja na DART TV kwenye YouTube.
Tunapenda kuwafahamisha wateja wetu wa Mabasi Yaendayo Haraka kuwa hairuhusiwi kulipa pesa taslimu kwenye ulipaji wa nauli abiria unatakiwa kulipa nauli yako kwa kutumia Kadi Janja ama Programu tumizi (App) ya Mwendokasi pekee. Kumejitokeza baadhi ya watumishi wasio waaminifu ambao kwa makusudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.