Recent content by DART Mwendokasi

  1. DART Mwendokasi

    Mabasi mapya ya mwendokasi hayana hata wiki yameanza kubuma barababarani?

    Ukweli huu hapa tusilete taharuki kwa wana mbagala.
  2. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Ufafanuzi juu ya Basi Jipya lililonekana katika mitandao ya kijamii likidaiwa kuwa ni bovu
  3. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    https://www.jamiiforums.com/threads/dart-marufuku-watoa-huduma-binafsi-kutoa-taarifa-za-usafiri-wa-mwendokasi-brt-ikiwemo-mikataba.2371765/
  4. DART Mwendokasi

    Chalamila: Mwendokasi ina mabasi 60 tu, mara ya kwanza yalikuwa takribani 200"

    Maswali yale aliulizwa mtu wa UDART sio wa DART jielimishe zaidi kuhusu mradi huu.
  5. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    kila kitu kiko sawa maandalizi yamekamilika na watu wetu wa operesheni wamejipanga vilivyo kuhakikisha mambo yanakuwa sawa.
  6. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Kubadili namba inawezekana kabisa unatakiwa kufika na kadi yako mahali uliposajilia kadi mwambie muhusika wa usajili tatizo lako yeye atawasiliana na watu wetu wa Tehama watakurekebishia bila shaka. Kuhusu watoa huduma wetu tunaendelea kuwapa elimu kila mara ya namna ya kuhudumia wateja , wakati...
  7. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Tuliposema mkae mkao wa kula tulimaanisha, sasa tumeshakabidhiwa mzigo na tayari umeshapakiwa kwenye meli uko njiani unakuja mwezi ujao ama kwa hakika mambo yatakuwa mazuri sana, tuendelee kuiamini serikali wakati ikiendelea kutafuta mwarobaini wa upungufu wa Mabasi katika mradi mzima wa...
  8. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Askari wapi hao maana kwenye vituo vyetu kuna askari wetu wa kampuni ya CT , ulikuwa unamaanisha utaratibu upi unaosimamiwa na polisi?
  9. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Pakua Mwendokasi App urahisishe ukataji wa tiketi kwenye Mwendokasi.
  10. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Tupo kila siku mkuu na kwenye nyuzi nyingi huko juu tumeshaelezea ni lini hasa watanzania wataanza kuonja mafanikio ya serikali yao na kusahau machungu, endelea kutufuatilia kwa karibu pia katika mitandao yetu ya kijamii, facebook,instagram, (X) na linkedlin kwa anuani ya @DARTMwendokasi, kwenye...
  11. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Mabasi yanakuja kama tunavyosisitiza kila wakati, na kama ni mfuatiliaji mzuri wa mitandao tayari kuna mzigo uko tayari uko kwenye hatua za kupakiwa na mengie yanatengenezwa kwa kasi kubwa.Mifumo ya kielektroniki ipo ndio maana tumezima mtambo wa tiketi za karatasi sasaivi tunatumia kadi janja...
  12. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Fahamu zaidi kuhusu Mwendokasi Card namna ya kujisajili na kuweka salio kwa mitandao ya simu na Benki.
  13. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Hakuna pahala ambapo tuisema mwezi huu tunaleta mabasi 100, utakuwa umechanganya na jielimishe zaidi kujua tofauti ya DART na wengine.
Back
Top Bottom