Kubadili namba inawezekana kabisa unatakiwa kufika na kadi yako mahali uliposajilia kadi mwambie muhusika wa usajili tatizo lako yeye atawasiliana na watu wetu wa Tehama watakurekebishia bila shaka. Kuhusu watoa huduma wetu tunaendelea kuwapa elimu kila mara ya namna ya kuhudumia wateja , wakati...
Tuliposema mkae mkao wa kula tulimaanisha, sasa tumeshakabidhiwa mzigo na tayari umeshapakiwa kwenye meli uko njiani unakuja mwezi ujao ama kwa hakika mambo yatakuwa mazuri sana, tuendelee kuiamini serikali wakati ikiendelea kutafuta mwarobaini wa upungufu wa Mabasi katika mradi mzima wa...
Tupo kila siku mkuu na kwenye nyuzi nyingi huko juu tumeshaelezea ni lini hasa watanzania wataanza kuonja mafanikio ya serikali yao na kusahau machungu, endelea kutufuatilia kwa karibu pia katika mitandao yetu ya kijamii, facebook,instagram, (X) na linkedlin kwa anuani ya @DARTMwendokasi, kwenye...
Mabasi yanakuja kama tunavyosisitiza kila wakati, na kama ni mfuatiliaji mzuri wa mitandao tayari kuna mzigo uko tayari uko kwenye hatua za kupakiwa na mengie yanatengenezwa kwa kasi kubwa.Mifumo ya kielektroniki ipo ndio maana tumezima mtambo wa tiketi za karatasi sasaivi tunatumia kadi janja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.