Bint:: Hallo mpenzi, mambo!
Jamaa:: Poa baby!.
Bint:: Uko wapi?
Jamaa: Mimi niko town napata lunch.
Bint:: Wow! Unarudi saa ngapi? Nina njaa dear,
nataka
uniletee msosi.
Jamaa:: Narudi baada ya nusu saa, Nikuletee
nini?
Bint:: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne
yakaangwe
pembeni, baga...