Recent content by Danstan Jr.

  1. D

    niokoe ndugu yako!

    asante ndugu ntatumia ushauri wako then ntarud jamvini!
  2. D

    niokoe ndugu yako!

    nashindwa kuelezea vyote maana ni ving,asante mkuu
  3. D

    niokoe ndugu yako!

    hapana sipat maumivu ya tumbo ila nakuwa na hali ya kutaka kutoa kila saa
  4. D

    niokoe ndugu yako!

    tumbo mara zote huwa lina gesi nyingi sana,muda mwingne harufu ni mbaya sana,msaada
  5. D

    niokoe ndugu yako!

    athante ndugu,ntajaribu
  6. D

    niokoe ndugu yako!

    habari za sasa wana jf wenzangu naomba nipate mawazo yenu ama msaada kwa haya majanga.Mimi ni kijana wa kiume,miaka 19 nina tatizo la kujamba sana tena kila wakati,shida zaid ni kwamba huwa si kwa hiari yangu ila nakuta tayari ishatoka bila mimi kufahamu wala kuruhusu.Tatilo hili lilinipata...
  7. D

    Wale wa Sua tufahamiane humu

    samahan kaka,nami nipo course hiyo,je unajuaje kama upo main campus au mazimbu?
Back
Top Bottom