Habarini ndugu zangu wana JF Mimi niko Dar es salaam na ninataka kufanya Biashara kutoka Zanzibar na kwa utafiti nimegundua Biashara ya electronics kutoka Zanzibar ni rahisi ila sijui ni electronics zipi haswa na accomodation za kwenda huko na guest itakiwa ni bei gani? Pia kama kuna mtu anaejua...
T-shirt na vest mpya za AFRICAN LOYALTY zinapatikana kwa bei ilioo poa na kwa ubora mkubwa.
Napatikana Sinza,Dar-Es-Salaam
T-shirt nauza 18,000 na Vest jipatie kwa 13,000
Tunafikisha Ulipo wasiliana nasi +255718274383
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.