Pia tutatuma ujumbe maaum kwa waziri wa Tamisemi Mh Mchengerwa na wizara ya afya
Pili michakato ya ajira za kudumu (cheque namba) isimamiwe na utumishi hawa watu wa ndani wasihusike wapo very biase na wamekua wakitishia watumishi , imagine mikataba wanatoa kwa upendeleo so cheque itakuwaje ...
@khimjo shida ni viongozi wa ndani specifically mfano mkurugenzi wa dar group mostly hashindi ofisin kabisa ,na hawa viongozi wao ndio wanakaa vikao vya uongozi vyenye maamuzi na maamuzi yao mengi ni kujali maslahi yao binafsi ,pia haya ni malalamiko ya watumishi wengi hadi kufikia kuleta huku...
Takriban mwaka miaka 3 tangu Serikali JMT kutangaza kuchukua umiliki wa hospitali ya Dar Group kupitia Waziri wa afya wa wakati huo Ummy Mwalimu siku ya makabidhiano na kuiweka chini ya umiliki wa Taasisi ya moyo JKCI , pia ilichukua rasilimali zote ikiwemo majengo, vifaa tiba , pesa na...
Update: Imagine taasisi moja ila malipo ya night call na overtime tofaut sababu hizo cheki namba ,yaan mnafanya kazi idara moja muda sawa (night na overtime) ila mwenzio analipwa mara 2 zaid ako kusungizio cheki namba , pili kama mmechukua hospital na kila na mnawaamisha ni watumishi wa umma ktk...
Wameshasubiri kwa muda mrefu na wamekua wakipewa ahad hewa hawajui hatma yao na hawapati stahiki zao kama inavotakiwa kwa kisingizio kuwa hospital inajiendesha bila msaada wa serikali. Na dalili zilizopo ni kuwa hata bajeti hii hamna dalili za watu kupata ajira, watende haki watu wapate ajira...
Ni muda sasa umepita tokea serikali kurudisha umiliki wa hospital ya Dar group na kuwa chini ya Jkci ingawa awali ilitegemewa baada ya serikali kuchukua rasimali zote za hospital hiyo ikiwemo majengo ,vifaa tiba na fedha ktk account ilitarajiwa kutoa ajira rasmi kwa rasilimali watu (watumishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.