Salamu zenu ndugu zangu, mwenzenu kwa kweli nimefika mwisho na hii ishu nzima ya kusaka ajira, sioni dalili ya kupata, imefikia ndani hadi nimeishiwa na chakula, watoto wanalala njaa, nguo zimewaruka viatu ndo wanamalizia pea ya mwisho . Jamani kama single mama mwenye uchungu na hofu ya watoto...