Recent content by dadak

  1. D

    Nini msukumo wako kujiunga na JF

    Mimi nilijiunga na jamii forum cause it is the only place naweza pata breaking news za uhakika na pia kuelimishwa katika maeneo mbalimbali kama ujasiriamali afya na mengineyoOut of topic please naomba mnikumbushe namna ya kutoa cash mchango jamii forum nimepoteza simu na namba niyokuwa naijua ya...
  2. D

    Utaratibu wa kubeba maiti

    Yaani hata sielewi wanakuwa na maana gani kufanya hivo kwani kila mtu ana haki ya kuishi hata kama ni mtuhumiwa wa mauaji kwani mahakama ndo itaweza kuamua anyongwe but in the mean time anatakiwa kutibiwa na kuokolewa maisha sasa wanapotaka pf 3 sijui wanamaanisha nini au wanajaribu kuzuia nini?
Back
Top Bottom