ndugu uliye post hii thread unakosea sana, kumbuka kuwa hata hao wabunge na mawaziri walisomeshwa kwa pesa za walipa kodi why us?? kwani wao wazazi wao hawakuwa na uwezo? na wewe upo kwenye kundi gani ? si ajabu na wewe pia ulisoma kwa pesa za walipa kodi, please usizidi kuwatia watu uchungu...
baba genovivah .pole ila usife moyo kaza buti mambo yatasonga, hope we will b together muhas b pharm. ila wale walinzi bodi wanazingua kichizi ikiwezekana ukifika pale uwadanganye kuwa mkopo umeenda kwingine la sivyo watawabania
mimi pia nimepata mkopo tena niliomba na cheti cha diploma nilimaliza form 4 mwaka 1998 na diploma mwaka 2005, nimepata chuo muhas bpharm. jambo la msingi ni kufatilia bodi ya mikopo kwa waliokosa na ninaimani kwa uwezo wake mungu mtafanikiwa. nawatakia kila la kheri na mungu awatangulie mfanikiwe
wandugu mimi nimechaguliwa muhas na tar ya kuripoti ni tar7 oct but mpaka leo hawajatoa admission form .sasa hii inakuwaje kwa sisi ambao tunaishi mikoani! kila nikifungua web site hawajaweka
asanteni sana ndugu zanguni.mimi mwenyewe nimechaguliwa pale B.pharm.hapa nilikuwa nachanganyikiwa kupata mil 1.6 za tuition fee kama tulivyoambiwa.kumbe inabidi niwe mpole
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.