Recent content by cyber ghost

  1. C

    Washa vifaa vya umeme kwa kutumia internet ukiwa mbali na nyumbani kwako

    Kifaa hiki nimekitengeneza kinauwezo wa kuwasha vifaa vya umeme kwa njia tatu. 1: Kwakutumia switch za kawaida. 2: Kwakutumia Bluetooth kwenye smartphone yako. 3: Kwa kutumia internet kwenye smartphone yako ambapo hapa unakuwa na uwezo wa kuwasha na kuzima vifaa vyako vya umeme vilivyopo...
  2. C

    INAUZWA Pump za solar

    Kwa atakae hitaji pump za solar ninazo mbili ni mpya kabisa hazijawai tumika kutoka kwa kampuni ya Lorentz Power=1700W Head=120m Price @1,400,000 Zipo mbili Location= Dodoma Phone: 0715277821 Sent using Jamii Forums mobile app
  3. C

    Corridor wiring

    Ok kesho nitaleta wiring diagram
  4. C

    Corridor wiring

    Habari za usiku wadau wote wa umeme,, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza tunajua kwamba imezoeleka wiring kwenye corridor fupi unaweza tumia switch mbili za 2 way na intermediate switch moja au corridor ikiwa ndefu zaidi unaweza ukatumia 2 way switch mbili na intermediate switches...
  5. C

    Nafundisha mahesabu ya solar

    Yes mkuu matatizo makubwa kwenye mifumo mingi ya solar kwa sasa hayatokani na ubovu wa vifaa vya solar bali ni kwamba mtumiaji anataka kutumia zaidi ya kinachozalishwa na system yake ya solar mwisho wa siku anajikuta hapati kile anachotarajia. So step ya kwanza kabisa unapofikiria kufunga mfumo...
  6. C

    Nafundisha mahesabu ya solar

    Karibu kwa ushauri
  7. C

    Nafundisha mahesabu ya solar

    apk na excel
  8. C

    Nafundisha mahesabu ya solar

    Kwa anaehitaji kujua hesabu za namna ya kupata size ya Panel Battery Charge conltroller Inverter Cables Vyote hivyo nafundisha kwa kiwango cha juu kabisa kwani ninauzoefu mkubwa katika kufunga mitambo mikubwa ya solar na kampuni ya Schneider electric ya ufaransa. Pia kwa anaehitaji program...
  9. C

    KAZI YA RCD/RCCB KWENYE MFUMO WA UMEME

    RCD ni kifaa kinachotumika kwenye mfumo wa umeme iwe majumbani au viwandani na kinakuwa na uwezo tofauti tofauti kulingana na mhali kinapotumika. RCD nyingi zinazopatikana ni 30mA,100mA na 300mA. Kazi ya RCD ni kumlinda mtumiaji wa umeme dhidi ya indirect electric shock. Kama tunavyojua IEC60364...
  10. C

    Uliza swali lolote kuhusu solar PV and solar pumps

    Waya mzuri ni waya ambao utapitisha umeme kwa urahisi ila mzuri ni copper wire ila uwe mnene kuepuka voltage drops zinazoweza kusababishwa na wembamba wa waya ila kiutaalamu wanasema waya mdogo kabisa unaoweza kuutumia kwenye mfumo wa sola ni 2.5mm² ila mm nachoshahuri watu wengi ambao hawajui...
  11. C

    Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    Hapo kuna matatizo kama matatu hivi Moja nikwamba betri liwe la solar au la gari acid inapopungua wakati wa matumizi huwa linajazwa na maji baridi(distilled water) ukiweka acid huwa linaharibika. Kitu cha pili battery capacity huwa inabadilika kulingana na kiwango cha joto so unashauriwa...
  12. C

    Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    System yako haipo well sized.
  13. C

    MADHARA YA KIVULI(SHADING) KWENYE SOLAR PANELS NA JINSI YA KUEPUKA.

    Zipo nyumba ambazo swala la shading kwenye solar panels juu ya paa haliepukiki kutokana na nature ya paa lenyenyewe lilivyopauliwa ("complicated roofs") au kutokana na nyumba za jirani zilizoizunguka nyumba hiyo yenye solar panels juu ya paa kuwa ndefu zaidi au kutokana na uwepo wa miti mirefu...
  14. C

    Uliza swali lolote kuhusu solar PV and solar pumps

    Maisha ya betri huwa ni number of cycles ambazo zinakuwa indicated kwenye betri data sheet so kwa mfano ukikuta betri ya 5000cycles maana yake unaweza ukaicharge na kuidischarge mara 5000 mpaka betri kuja kufa na unapochaji mpaka likajaa halafu ukatumia mpaka likaisha hapo unakuwa umeshatumia...
  15. C

    Uliza swali lolote kuhusu solar PV and solar pumps

    Betri zinazoongezwa maji zinafaida nyingi sana ila chache kati ya hizo nyingi ni kwamba zina maisha matefu ukilinganisha na hizo betri za AGM na GEL, pia swala la kiluzifanyia maintenance ni simple, pia storage capacity ya betri huwa inapungua kutokana na kupungua kwa acid ndani ya betri sasa...
Back
Top Bottom