Uraibu hutazamwa kama ugonjwa au utumwa wa ndani unaotokana na hali ya kuzoea kufanya kufanya kitu chenye madhara bila kujizuia . mara nyingi watu huzingatia Zaidi uraibu wa dawa za kulevya na kuchukulia ulevi kama tabia lakini kisichojulikana ni kua kuna uraibu wa mambo mengi kama vile uraibu...
Usonji ni moja ya matitizo ya afya ambayo mtoto huweza kuzaliwa nayo .hii ni hali ya kudumu tangu kuzaliwa hadi mwisho wa mtu husika. Matatizo hayo hugundulika katika umri wa miaka miwili katika ukuaji wa mtoto tatizo hili huambatana na mabadiliko ya tabia za mtoto kama vile utendaji wa mtoto ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.