habari, kuna rafiki yangu amepata scholarship algeria, anaomba ushauri kwa anayefahamu ubora wa elimu ya nchi hii na changamoto anazoweza kukutana nazo akienda huko?
habari mie naomba kujua hii mikopo ina aslimia ngapi ya riba, isiwe tunashangilia kuipata wakati wa kulipa tukalia, kwa mfano umekopeshwa million 4 utalipa million ngapi?
na je kama mtu umeandika barua kubadilishiwa course ndani ya chuo na pia umetuma transfer form tcu ya kubadili chuo hapo inakuwaje ? inakubalika kweli kufanya hivyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.