Mheshimiwa Jenista Mhagama hivi karibuni alinukuliwa akiuleza Umma kuwa wata Ajiri kupiti mfumo hifadhi wa Utumishi takribani nafasi 1769 zitatumika kua Ajiri kupitia Data base ya utumishi mwezi February 2023
Hivyo nawaomba utumishi kutomuangusha Mheshimiwa na kumfanya aonekane muongo.
Endapo...
Wapo wengi sana kama wamekosa watu wazitangaze upya bandari hapa kuna uhaba mkubwa mno kibali kilichotangulia kikikamilika fulsa nyingine zinafunguka siyo waombe nyingine wakati za kwanza hazijakamilika
Bado bandari inawadai utumishi watu hao waliobakia kulingana na kibali kilivyokuwa kimetoka na kinatupiwa macho mno hizo nafasi kutokana kibali kilikuwa wazi kwako katibu mkuu utumishi uupige mwingi nipo hapa likizo ya kunyonyesha
Tatizo ni utumishi wanatakiwa wawapeleka hao watu na kuwakabidhi bandari. Hapa bandarini kwa sasa ni ngumu kuunganishiwa vibari vyote vipo utumishi vya ajira mpya
Ndiyo watayatoa kivyovyote mana hapa bandari bado mahitaji ni mengi mno pili wale wote walioitwa hawaja anza kazi hadi leo. Bandari inahitaji kufanya semina elekezi kwa watumishi wapya wote kwa pamoja hapa anaesubiriwa ni utumishi tu
Inabidi walete hao security assistant waliobakia either kutok katika Data base yao au watangaze Upya kama hawapo kabisa ili Watanzania waombe kibari kisipite bure zikaipita hewani hewani
POST SECURITY ASSISTANT – 5 POST
POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION
LEGAL
EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i.To assist in preparation of roster and supervises Security guards for general security...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.