Recent content by cupvich

  1. cupvich

    SoC03 Ili kumuwezesha mhitimu wa chuo kujiajiri, serikali ikate asilimia 25 ya pesa yake ya kujikimu (boom) na kumlipa baada ya kuhitimu kama mtaji

    Nimekuelewa ndugu mwana jf. Ni kweli kiasi kilichopendekezwa hapo kinaweza kisitoshe lakini.. maana ya andiko hili ni kwamba pamoja na kwamba serikali inatakiwa ikate asilimia 25 ya pesa ya Bumu kwa ajili ya kumuwezesha kijana kujiajiri. Serikali hiyohiyo haina budi kumuongezea MTAJI wa kutosha...
  2. cupvich

    SoC03 Nchi ya kusadikika ambayo kila mwalimu wa kitanzania anaitamani

    Ahsante mwana if tuendeee kusoma MAKALA hii
  3. cupvich

    SoC03 Nchi ya kusadikika ambayo kila mwalimu wa kitanzania anaitamani

    "Baba Wande amka unachelewa kazini" ilisikika sauti ya Mke wa mwalimu Matinyi ambaye ni mwalimu wa somo la hisabati katika shule ya sekondari MAPWE. Kwa haraka mwalimu Matinyi aliangalia saa yake na kugundua kuwa ni saa kumi na moja na dakika kumi alfajiri,alikumbuka kuwa yuko zamu kwa wiki...
Back
Top Bottom