Nimekuelewa ndugu mwana jf. Ni kweli kiasi kilichopendekezwa hapo kinaweza kisitoshe lakini.. maana ya andiko hili ni kwamba pamoja na kwamba serikali inatakiwa ikate asilimia 25 ya pesa ya Bumu kwa ajili ya kumuwezesha kijana kujiajiri. Serikali hiyohiyo haina budi kumuongezea MTAJI wa kutosha...
"Baba Wande amka unachelewa kazini" ilisikika sauti ya Mke wa mwalimu Matinyi ambaye ni mwalimu wa somo la hisabati katika shule ya sekondari MAPWE. Kwa haraka mwalimu Matinyi aliangalia saa yake na kugundua kuwa ni saa kumi na moja na dakika kumi alfajiri,alikumbuka kuwa yuko zamu kwa wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.