Recent content by CT0007

  1. CT0007

    Utu wa Watanzania uko wapi?

    Historia ya Israel kuhusu usalama wa raia wake inajulikana kwa sera zake kali za ulinzi na kujihami, hasa kutokana na changamoto za kijiografia na kisiasa ambazo zimeikumba nchi hiyo tangu kuanzishwa kwake mwaka 1948. Nchi imejikita katika kuhakikisha usalama wa raia wake kwa kutumia mbinu...
  2. CT0007

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Kwanini unataka Serikali Moja ? 1. 2. 3. 4. 5.
  3. CT0007

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Ndugu mtanzania Toa sababu za kitafiti, Kwa nini unasema Serikali Moja ?
  4. CT0007

    Mbowe: Hata wa serikalini hawaukubali mkataba wa DPW

    Kama hujasoma mkataba chukua hapo
  5. CT0007

    Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260

    Kuna documents yeyote Mkuu share huku tuone mkuuu Asifiwe Mvua imemnyea
  6. CT0007

    Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260

    Elezea Reality ambayo sio propaganda
  7. CT0007

    Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260

    Serikali ya Tanganyika inachezewa na wazanzibari haswa. Watanganyika wamelala, Tutakuja kulipa ela Nyingi Sana za DP world kutoka na Mkataba wa sasa Kati ya Tanzania na DP world.
  8. CT0007

    Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260

    Haya ndio matatizo ya mikataba mibovu kati ya Tz na nchi zilizoendelea. Kuingia mikataba mibovu na kutegemea kubadili sheria baada ya muda haisaidii. Serikali inazidi kupoteza mabilion zetu za kodi kwa uzembe ya wachache.
  9. CT0007

    DP World walipatikanaje kama hatukuona tenda ikitangazwa?

    Dp walipatikanaje????Walijuaje bandari ya DSM inatafutiwa MTU??? Ni maswahili yananisumbua sana akilini ..... Viongozi katika huu mkataba wa Bandari kutakuwa na donge nono la Rushwa kila Mwezi watakuwa wamecheza sio kwa kelele hizi na bado watu wanatiwa ndani kwa sababu ya Kupinga........ Ya...
  10. CT0007

    DP World walipatikanaje kama hatukuona tenda ikitangazwa?

    Akili Muhimu sana Mkuu, NCHI YETU BADO VIONGOZI NI WABOFU WA AKILI
  11. CT0007

    DP World walipatikanaje kama hatukuona tenda ikitangazwa?

    Wizi imeshapangwa hukooo, inaingia Tu kwenye account
  12. CT0007

    DP World walipatikanaje kama hatukuona tenda ikitangazwa?

    Chief rushwa IPO kila sehemu, ukibinafsi haimaanishi rushwa imeisha umehamisha kutoka Kwa watu wa kitengo cha chini Hadi Kwa wakuuu wenye mamlaka. Pia rushwa IPO Hadi Kwa mataifa makubwa, sehemu wao Wana operate kwenye Invoice hakuna jipya zaidi hapo. Pia kama Taifa tunaonyesha weakness mdogo...
  13. CT0007

    DP World walipatikanaje kama hatukuona tenda ikitangazwa?

    Kuhusu bandari mimi siungi mkono ubinafsishaji wake hata kidogo! Ibinafsishwe ili sisi tufanye nini? Kwani uendeshaji wake unagharimu nini ambacho hatukimudu kama nchi? Mbona ATCL inapewa ndege mpya na serikali na bado inapata hasara ila haibinafdishwi? Bandari inaingiza hasara gani mpaka...
  14. CT0007

    Fatma Karume: Mwanasheria Mkuu na Watanganyika wa ofisi yake ndio wamewauza, sio Wazanzibari

    Ukweli ni kuwa Sumu ya neno ni neno. Madam anatakiwa kuwaza zaidi ya hapo, ni Kwa sababu tu Mama Ndiyo yupo Top, ni double standard reasoning.
Back
Top Bottom