Recent content by cronos

  1. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Ww hutaki kamanda
  2. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Hhhhh basha elfu 30 zikasomwe kwel
  3. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Naona kumepowa watu wameamuwa waendelee kulima nyanya
  4. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Matarajio 0%
  5. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    kimya k8metawala
  6. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Sikuizi wenye degree wanatapeliwa na form two faliure
  7. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Ukion mtu anatak hela ujuqe ni babaisha bwege
  8. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mzee siyakucheka sikuwah kutan na tapeli anaye jiamin km huyu sema nilipata hela zangu nusu tena kwa pinde najuz kati kuna mmoj anambia jira ipo ilabid ulioe nikamwamboa hakun shida mim nikikwambia pesa mpk nifik huniamin na ww ukinambia nikupe mwanz sikuamin kwaiyo tuna,tafute mtu wa tatu a,bae...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Daaah zote ni changamoto ila hili gwanda sisi tunalipenda
  10. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Asante mkuu
  11. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Hawa matapeli ni wengi mim binafsi yangu nilitapeliwa piya mambo haya haya polisi nikapigwa za kichwa nakumbumka jamaa alitaka milion tatu laki tano nikampa hela za mwanzo laki tano alafu alivyokuwa katili anajuwa nafasinhana ananambia ninunuwe tranka nijiandae daaa
  12. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Hebu tupe uhondo wa six week kule tujipange
  13. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Ukweli mchungu ni kwamba hata simu watu zikiita hawasemi sababu wanaogopa hawana uhakika uko waendalo km kunakutobowa ndomana wanavinga tu
  14. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Nakukubali sana mwanangu naamin ipo sikuntutaingia chomboni kaka tuendelee kupambana
  15. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mzee mbon unaongea km yule jamaa wa jax unaukumbuka ule uzi wa kinjemo a tupeane updates ya ajira alafu ukawa ww ndo ulouchangamsha ule uzi nilikuwa ni fans wako mkubwa kaka kwenye ule uzi yan mpk unaongea ivo hizi story zote nazikumbuka story za big analala tu kweny gari
Back
Top Bottom