Recent content by criticalman

  1. C

    DOKEZO Walimu walioajiriwa Mwaka 2025 Dodoma Jiji waliokidhi vigezo inadaiwa waombwa kitu kidogo ili wathibitishwe kazini

    tunaombwa rushwa ili kuthibishwa kazini baadhi ya ma maafisa tsc na utumishi takukuru fuatilieni hili
  2. C

    DOKEZO Walimu walioajiriwa Mwaka 2025 Dodoma Jiji waliokidhi vigezo inadaiwa waombwa kitu kidogo ili wathibitishwe kazini

    walimu ajira mpya waliokidhi vigezo vya kuthibitishwa kazini tangu February 2026 halmashauri ya dodoma jiji bado hawajathibitishwa kazini . ukifuatilia TCS na utumishi dodoma jiji baadhi ya maafisa wanaomba rushwa na kusema kama ukitoa rushwa siku hiyo hiyo utathibitishwa kazini wanatumia...
  3. C

    DOKEZO Walimu walioajiriwa Mwaka 2025 Dodoma Jiji waliokidhi vigezo inadaiwa waombwa kitu kidogo ili wathibitishwe kazini

    Watumishi wa TCS na utumishi Dodoma jiji wanaomba rushwa ili wathibitishe walimu kazini. Walimu wengi tayari wana mwaka na miezi kadhaa kazini. Mfano walioajiriwa February 2025 hadi leo hawajathibitishwa kazini. Kila wakifuatilia wanambiwa watoe rushwa ili kukamilisha process. TAKUKURU...
Back
Top Bottom