Recent content by Cprah

  1. Cprah

    Hizi zinazoitwa connection ni nini? Je, ni jina sahihi linavyotumika huko?

    nakushaur usome vizur unachotype kabla huj think first kijana..
  2. Cprah

    Kijana mwenye umri miaka 12 Mbioni kukatwa Miguu na mikono

    haitosaidia chochote angewaishwa hospitali ingejulikana yupo kwenye hatua gani(baada ya kuthibitishwa kama ni gangrene)kama ameharibika sana basi namna pekee n amputation (kukatwa mguu) mana wanavyozidi kuchelewa ndivyo viungo vingine vinavyoathirika
  3. Cprah

    Hizi zinazoitwa connection ni nini? Je, ni jina sahihi linavyotumika huko?

    Kuna mambo mengi yanaendelea huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hili la connection limepamba moto, kwanza kwanini huu udhalilishaji unaitwa CONNECTION? Inaconnect nini na nn? kwanini inaitwa connection ya flani? binti au kijana au mzee mwenye jina lake flan bin fulani Kwanini jamani...
  4. Cprah

    Kijana mwenye umri miaka 12 Mbioni kukatwa Miguu na mikono

    alikuwa nakidonda cha wazi kilichosababisha bacteria kuingia ukiongelea gangrene iko na types nyingi na pia ukiachana na makundi ya watu walionauwezekano mkubwa wakupata kuwa na kidonda cha waz kinachoruhusu bacteria kuingia kunasababisha pia kupata gangrene
  5. Cprah

    Kijana mwenye umri miaka 12 Mbioni kukatwa Miguu na mikono

    Binti Konko Said (12) yu mbioni kukatwa miguu yake pamoja na mikono yote baada ya kubainika kuwa na ugonjwa uitwao Gangrene.Ugonjwa wa gangrene unasababishwa na kufa kwa tissue zilizopo ndani ya mwili na kusababisha kutokufika kwa damu katika sehemu husika au bacteria infection Mara uwapatapo...
Back
Top Bottom