Nimemueleza kosa lake na huyu dada kakiri tamaa imemponza,mbaya zaidi katika charts zaoinaonekana hawajafanya chochote ila huyu dada kaombwa kinyume na maumbile na kaahidinkumpa jamaa!
Mambo zenu ndugu zangu
Jioni ya leo kuna mtu mmoja mwanamme kadondosha simu aina ya Samsung na kwa bahati mbaya zaidi haina password. Sasa katika kutaka kuichunguza tumeingia Whatsap katumiwa picha za utupu na mke wa mtu ambaye ni mwalimu katika Shule ya Msingi na ambaye mme wake yupo kikazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.