Recent content by Corporate G

  1. C

    Natafuta mkataba wa kuendesha gari la Uber

    Hayo ni makubaliano kabla mkataba hujatengenezwa
  2. C

    Natafuta mkataba wa kuendesha gari la Uber

    Wateja mda mwengine unategemea unajiongeza vipi na uelewa wa jiji na pia kujua ni waiati gani nzuri kwa most active
  3. C

    Natafuta mkataba wa kuendesha gari la Uber

    Inategemeana na masaa mangapi ntakuwepo barabarani ndani ya wiki hiyo na uber wanakurahishia kuonyesha mapato ya dereva ndani ya wiki. Pesa anayopokea mmiliki Wa gari ni ile atakayo ridhika nayo.
  4. C

    Natafuta mkataba wa kuendesha gari la Uber

    Mmiliki ndiye anayeamua kiasi atakacho pokea, cha msingi maelewano na uzuri application ya Uber inaonesha kiasi gani dereva anaingiza kwa wiki. Kwa hilo mwenyewe nawasifu na pia kiasi anachoingiza dereva hutegemea sana bidii mwenyewe.
  5. C

    Natafuta mkataba wa kuendesha gari la Uber

    Habari zenu wadau wa Jamii Forums. Natafuta mkataba wa kuendesha gari la Uber. Vigezo vya gari linalohitajika, iwe ni model ya mwaka 2003 na CC 1300. Mimi kama dereva nina wajibu wakutimiza mahitaji yote ya gari ikiwa na service na usafi wa gari. Mmiliki wa gari anauwezo wa kupata 150,000 -...
  6. C

    Kupoteza hisia sababu ya over masturbation

    Hii ni kwa wanaume...Inawezekana mtu kupoteza hisia na kushindwa kufika kileleni akiwa anafanya mapenzi ? Na kama ni kweli kuna tiba yeyote inayojulikana
  7. C

    Nahitaji Editor mwenye English Major

    Kuna mtu yeyote mwenye English Major na ni mzuri wa content management for magazines ???
Back
Top Bottom