Recent content by coronath julius

  1. coronath julius

    Msaada: Ulaji mkubwa wa umeme kwa matumizi yale yale kwenye mita ya 3-Phase

    Wadau naombeni msaada kwa hili jambo,, Yaani siku hizi tangia wiki jana , ulaji wa umeme kwenye mita za 3phase umekuwa mkubwa mno. Yaani, ukiweka umeme ambao kwa kazi ileile ulikuwa unatumia labda siku 4, siku hizi unatumia siku moja kwa kazi hiyohiyo unaisha. Nimeleta mafundi wa umeme...
  2. coronath julius

    Hai, Kilimanjaro: Wanafunzi 17 wakiri kulawitiwa. Mkesha wa Mwenge wahusishwa!

    Write your reply...watu wote hao imekuwaje wakaliwa uloda bila kupiga kelele? kama walizuiwa kupiga kelele kwa nn hawakuripoti baada yakuliwa? kataa kubali hawa niwazoefu tu
Back
Top Bottom