Ruto alitangaza refinery Tanga inaelekea alipata intelligence kuwa Tz ina mpango wa kujenga energy hub in Tanga sasa akaja na mpango wa ku derail hiyo deal. Maana it is strange raisi wa nchi nyingine atangaze mradi kwenye nchi nyingine bila counterpart wake kujua na sitaki kukubali kuwa Kenya...
Maisha hutapata progress kama hii toka kwao. It has been more than a decade now, in fact 13 years now; hadithi ndio hizo hizo tuu wamekalia politiki tuu tangu asubuhi kazi hawafanyi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.