Recent content by coodip1

  1. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hatimae stakehigh wamesikia dharau zako wana upgrade viti na nusu meza now🤣🤣🤣 https://www.kenyans.co.ke/news/126229-sgr-hits-full-capacity-kenya-railways-responds-calls-more-coaches
  2. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    🤣🤣🤣 Baada ya kutoka kwenye kijichaka chao ndio wanaona dunia iliyowazunguka sasa na kutaharuki.
  3. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    in 2030 the goal ni kuwa na 10,000MW kwa plan zilizopo we can easily exceed that target. Dangote anaanza na 2000MW coal powered Mtwara huko
  4. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wasubiri GDP iwajengee Electricity capacity sisi hatuna time nao 😁
  5. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Jaluo Akitamka Officiation utacheka mpaka ufe 😂😂😂
  6. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sio Airport tuu, sema the entire spectrum of transportation tumewaacha kwa mbali sana.
  7. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kisumu ni mji wa ngapi Kenya na Kigoma ni mji wa ngapi kwa TZ? Tuanzie hapo kwanza.
  8. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ah, ok hiyo iko opposite na Kilwa town kama kigamboni flani hivi sio?
  9. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    They are living in their own cocoon waache hivyo hivyo siku wakitoka nje ndio watajua hawajui.
  10. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Salary tuu ni shida mpaka mkopo ndio itakuwa SGR hadi hela ya kununua chakula huwa wanakopa hao. Ukiona serikali inaanza kuhangaika na vitu vidogovidogo kama salary, bei ya unga mkate ujue uchumi tia maji tia maji
  11. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    How on earth can you build rivers of sewage🤔Mji hauna underground pipe infrastructure ama ni nini?
  12. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Uganda nae soon atatoka humo shimoni. Economic Gehenna belongs to the Northerners alone hapa EA.
  13. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Waache kelele mingi si wakule GDP sasa.
  14. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Njaa tuu hao. Wachumia tumbo.
  15. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    If the port is near the town, waweke na gati la passengers kabisa kama inawezekana.
Back
Top Bottom