Recent content by coodip1

  1. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hiyo maize ya Zambia itapita wapi tumia akili hata kidogo tuu itakusaidia.
  2. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nimekuwa nikisema humu ndani miaka yote jamaa hali ni ngumu fiscal space ni finyu sana sababu ya madeni, wizi, corruption na stagnation ya revenue sources vis a vis ballooning import bill.
  3. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hatimae zimeisha 😁
  4. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nimesema hapa wiki iliyopita kuwa kiongozi wa china anakuja kufunga deal la KPA ili mzigo wa SGR to Malaba utoke.
  5. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Yaani investor aje anunue deni wakati performance iko kwenye doldrums ni kichekesho huu ni mzigo wa serikali peke yake hakuna wa kuibeba KQ zaidi ya GoK
  6. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tumeshawaandikia CAF tumeomba extension ili tuweze kukamilisha payment 😁
  7. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Arusha itamalizika kabla ya Talanta.
  8. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hapo kwa kurasini terminal ndio wamekosea tumekubaliana containers zote ziende out of Dar es salaam kwa train to Kwala, Isaka na Ihumwa for now. kuweka containers mjini ni kuendelea kuleta foleni ambazo hazina msingi wowote. mjini inatakiwa tankers, perishable goods na bulk cargoes tuu.
  9. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ngoja wakishafanya remittance CAF watakuja hapa kwa fujo sana 🤣🤣🤣
  10. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tukisema sisi tunaambiwa oh mnafuatilia sana habari za Kenya sasa ngoja tuwaachie wa Ghana sasa https://www.facebook.com/share/1Sh9Z7MJkp/
  11. C

    Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango nae. Nawaza bwana ake akijua sijui itakuaje

    Mchumba wako nitamweka busy hataweza kushtuka kama umempa huyo mshangazi mimba.
  12. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huu ni msiba mkubwa sana
  13. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wao wako busy na vikao vya kamati za senate na bunge kuishinikiza treasury ifafute hela kabla ya deadline wasije wakaibika na kuchekwa na majirani zao 🤣🤣🤣
  14. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Achana na hizi vitu sisi tunafurahia gorofa refu kwa region hii😁
  15. C

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Are you looking for justification on bakuli seats?
Back
Top Bottom