Nimekuwa nikisema humu ndani miaka yote jamaa hali ni ngumu fiscal space ni finyu sana sababu ya madeni, wizi, corruption na stagnation ya revenue sources vis a vis ballooning import bill.
Yaani investor aje anunue deni wakati performance iko kwenye doldrums ni kichekesho huu ni mzigo wa serikali peke yake hakuna wa kuibeba KQ zaidi ya GoK
Hapo kwa kurasini terminal ndio wamekosea tumekubaliana containers zote ziende out of Dar es salaam kwa train to Kwala, Isaka na Ihumwa for now. kuweka containers mjini ni kuendelea kuleta foleni ambazo hazina msingi wowote. mjini inatakiwa tankers, perishable goods na bulk cargoes tuu.
Wao wako busy na vikao vya kamati za senate na bunge kuishinikiza treasury ifafute hela kabla ya deadline wasije wakaibika na kuchekwa na majirani zao 🤣🤣🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.