Recent content by Content Alchemist

  1. Content Alchemist

    JamiiForums Tanzania Digital marketing Tanzania bado ni hovyo kabisa

    I said it was among the reasons. Kama mazingira ni rafiki kwa biashara, what kind of a fool would decide to leave? By the way, have you ever bought anything online? Ile tovuti ya wasafi ya kuuza nyimbo uko wapi?
  2. Content Alchemist

    JamiiForums Tanzania Digital marketing Tanzania bado ni hovyo kabisa

    Ni kweli kabisa, online marketing bado ni kitu kigeni hapa. Wanaofanya wanafanya kienyeji. Lakini pia soko la kimtandao bongo lina changamoto nyingi. Watu hawana online experience yakutosha. Haya na mengine mengi ndio yamewakimbiza Jumia wakaamua kuikimbia bongo. Ni makosa makubwa kwa biashara...
  3. Content Alchemist

    JamiiForums Tanzania Kuza biashara yako kwa kujitangaza mtandaoni

    Biashara na matangazo ya karne ya 21 yanategemea sana teknolojia. Tunaishi ulimwengu wa dijiti hivyo kila kitu hakina budi kufanywa kidijitali. Unaweza kuwa na biashara yako au kampuni yako inayotoa huduma ama bidhaa imara na uhakika kabisa lakini usipotumia bidii kujitangaza unaweza kuzidiwa na...
Back
Top Bottom