mmh watanzania tumekuwa tuna nyumbulisha maneno hata kama la heshima mwisho lina kuwa la kipuuuuuuuuuuuuuuuzi sasa inamaana watanzania tumekuwa waelevu au inamaana tumekuwa wabunifu ebu nisaidieni mie mwenenu nielewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.