Recent content by Conqueror771

  1. C

    SoC04 Haya yafanyike katika kukuza sekta ya elimu kwa miaka ijayo

    Una uhakika wote wanaopata huo mkopo wazazi hawajiwezi??? Hata mm nipo chuo bado nawaona na waliokosa pia wapo ambao wazazi hawajiwezi
  2. C

    SoC04 Haya yafanyike katika kukuza sekta ya elimu kwa miaka ijayo

    Habaniwi ila ni mipango tuu ni saw na wew sasa hv mzazi awe anakupa pesa ya matumizi ya mwaka kwa mara moja au kwa awamu tofauti??? Pia kusema funds zinazopita kwake means atakua ametolea jasho itamuuma kuchezea Hakuna inaemuumua kuchezea boom
  3. C

    SoC04 Haya yafanyike katika kukuza sekta ya elimu kwa miaka ijayo

    Kwanza nipende kushukuru kwa kupata kufahamu juu ya fursa hii, watanzania wote wanaweza kutoa mawazo yao tofauti tofauti, Pia nichukue nafasi hii kuipongeza serikali toka awamu ya tano na ya sita walipojitahidi kufanya vema katika sekta ya elimu kwa kumruhusu elimu iwe bure pasipo kulipa ada...
Back
Top Bottom