Wakuu Habari, Naitaj mtu anaye weza na mwenye mtaj wa kufungua M- pesa, Tigo-pesa na airtel - money, eneo ni mbez beach bonden, Karibu na kambi ya jesh lugalo. Mwenye uhitaj Pg no 0759657178 kumbuka kuna gharama ya udalali japo so kubwa sana.
Niwazo zuri ilo mkuu lakini sawa kwa sisi ambao ni junior lawyers inakua ngum sana. Kwasababu naitaji nkae na seniors kwanza. ndo kdogo unaweza fanya ivo
Kwa sababu kwa experience ya miaka miwili tu bado sana kwenye filed kufka hatua yakufungua ofisi
wanajamvi Heshima kwemu wote. Kulingana na changamoto za ajira
Naomba ambae anaweza kuwa na connection ya kazi anisaidie kwa pale atakapo GUSWA. Elimu yangu ni degree ya sheria, uzoefu miaka miwili kama legal officer trainee. qualification hiyo isiwe kikwazo cha kupata fursa nyingine nje ya...
Habari zenu wakuu.
Naitaji kupata sehemu kwaajili ya kufungua biashara ya chips Iliyo changamka. Maeneo ni mwenge kawe tangbovu mpaka tegeta.. Tuwasiliane 0759657178
Jiko la umeme used lenye plate nne linauzwa kwa bei ya Tsh 130000 Lipo maeneo ya mbezi Beach goigi. Lina ovena pia.. Na ni zima ispokua plate mbili ndo hazifanyi kazi ni za kubadili.. Kwa anae hitaj tuwasiliane 0759657178
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.