Alivyohamishwa kuna siku akatembelea MJ niliona video wanafunzi wakiandamana kumtaka asiondoke & arudi kuwa mkuu wao, Ilibidi Polisi waje kumsaidia aondoke maana wanafunzi walizingira gari lake pande zote.
Hakika amepokelewa mbinguni na baba muumba.
Aamen.
Kuanzia nimeanza shule nimetunza documents zangu zote hadi leo tena kwa hali ya usafi.
Check receipt niliyofanyia malipo term moja baada ya kupewa kibali na Brother PL.
Nakumbuka nilienda ofisini kwake mimi mwenyewe kumuomba nafasi ya kujiunga na kidato cha pili, alinipokea kama wageni wengine bila kujali umri wangu. Aliniuliza maswali kadhaa kwa upole na mwisho akanipa kibali cha kujiunga na shule.
R.I.P BROTHER.
Inasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020 katika hospitali ya Mount Meru Arusha. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni.
Nafahamu kuna wana MJSS wengi sana hapa Jukwaani walio ndani na nje ya nchi. Karibuni tumuenzi mkuu wetu...
Naelewa mkuu, Ila tuseme nilibahatika kuchagua/kupata vijana waliotimiza wajibu kwa 100%
Nilijaribu bahati yangu na MUNGU akasimamia Ikawa kweli.
Shukrani zote kwa Sir GOD.
Uliwapa kwa mkataba wakimaliza wazimiliki or kwa hesabu ya bila kikomo?
Mkataba wakumiliki naona kidogo wanakuwa serious...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.