Recent content by cocico

  1. C

    CCM: Dharura Kamati Kuu & NEC, Kuna Nini Huko?

    unachosema ni kweli kaka. juzi tu kiongozi mkuu ikulu ametuhumiwa kwa ukabila vielelezo vichache vikatolewa... lakini kuna hata msemaji mmoja wa ikulu amenyanyua mdomo kujibu? au hata yeye mwenyewe mtuhumiwa? wanajua, watanzania kazi yao kusema tu lakini 'no action' . hatuna meno ya kuuma wala...
  2. C

    CCM: Dharura Kamati Kuu & NEC, Kuna Nini Huko?

    Lakini jambo la muhimu ni... Je, tutalalamika bila kuchukua hatua hadi lini? Kurasa kama hizi ndo za kuhamasishana na kuchukua hatua za kuleta mabadiliko. Oktoba inakuja, je, tumejiandaaje na tunaelimishaje umma wa Kitanzania kwamba miaka ya wanaotutawala imekwisha????
  3. C

    CCM: Dharura Kamati Kuu & NEC, Kuna Nini Huko?

    teh! hivi, unapokuwa na washauri ambao baba zao wanadiriki kusema kwamba wakiachia ngazi watoto wao ambao ni washauri wa mkuu watashika hatamu, pamoja na mambo ya kuacha kazi walizopangiwa na mkuu na kuanza kufanya kazi za tenda, je, kuna usalama hapo? hata mkuu anaona jinsi anavyohujumiwa. ila...
Back
Top Bottom