Tuliambiwa kuwa Majina ya waliorekebisha fom zao Heslb yatatoka kuanzia tarehe 8.november lakini hadi leo hakuna jina hata moja lililotoka.Kuna vyuo vingine watu wamesain na tayari wameshaingiziwa pesa zao, yoyote mwenye Idea tusaidiane jaman au ndo tumekosa tena mkopo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.