Recent content by cms

  1. C

    Natafuta Mama mtu mzima kwa ajili ya malezi ya watoto, wa hiari mtu mzima

    Nawapataje mkuu? Mjini humu humu au vijijini?
  2. C

    Natafuta Mama mtu mzima kwa ajili ya malezi ya watoto, wa hiari mtu mzima

    Hivi kwa bongo hivi vituo vipo?
  3. C

    Natafuta Mama mtu mzima kwa ajili ya malezi ya watoto, wa hiari mtu mzima

    Habari? Kama kichwa kilivyo, mimi ninafanya kazi ya kuajiriwa ,na mke wangu ni mfanyabiashara tuna watoto watano, wawili bado wadogo chini ya miaka mitano. Wengine wapo miaka 12, wapili 9 na watatu 7. Wadada wa kazi wanasumbua sana. Mama na baba walitangulia tangu nikiwa mdogo, pia mke wangu...
Back
Top Bottom