Recent content by Cliffthug

  1. C

    Nina certificate ya Information Technology, natafuta kazi Dar es Salaam au Mwanza

    Changamoto ni ada ndugu nilitaja kwenda veta kusomea mtambo mmoja wa forklift ili nipate kaz viwandan lakn ada ikawa changamoto
  2. C

    Nina certificate ya Information Technology, natafuta kazi Dar es Salaam au Mwanza

    Ndugu watanzania, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 mwenye changamoto ya kukosa ajira. Naomba msaada wa ajira yoyote ile kwani nina uhitaji sana. Elimu yangu nilifanikiwa kumaliza kidato cha nne na kujiunga na chuo cha Uandishi wa Habari nikasoma semester moja ila sikufanikiwa kumaliza...
Back
Top Bottom