Recent content by Cliff7

  1. C

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Uzi umepoooaaa!
  2. C

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Eti wadau kwa mnavyoona hiz nafasi zilivyofululiza mwakani kweli kunauwezekano wa kuita watu kweli? Au ndio tusubiri after 2 years?
  3. C

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Ngoja tuone mpk mwisho huwez jua mpk majina yatoke!
  4. C

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Ishu ni kukaza tu usikate tamaa! Ikitokea umekosa nafasi kipindi hiki unatakiwa kwenda kujipanga na wakati ujao unaanza maandalizi mapema kabla hawajatangaza zikisha tangazwa tu mambo yanaanza kuwa mengi
  5. C

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Fundi manyumba kapotelea wapi jmn
  6. C

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Kunauwezekano ya majina ya usahili kuongezeka
  7. C

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Muiteni Fundi manyumba! Msalimieni tu!
  8. C

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Zoezi hilo limeshaisha muda mrefu!
  9. C

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Kipindi kama hiki wengi huwa wanasema kulingana na utashi wao! Lonja zitatembea sana ila wenye taarifa za uhakika huwa hawasemi! Na wala hawapo humu na kama wapo ni wachache sana! Waliopo humu wengi wanatafuta tu tetesi
  10. C

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Polisi hawajawahi! Kukaa zaid ya miezi miwili baada ya tarehe ya mwisho wa ku apply kupita! Mara nyingi ni kuanzia 3 weeks - 7weeks ukiona wanachelewa basi zipo tusababu kadhaa! Ila majina ya usaihili yanaweza kutoka siku yyte hata Leo! Na pia yanaweza yakachelewa All in all subirini tu !
  11. C

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Haya majeshi yatanikondesha mwenzenu! Nipo tayari hata kurudia kozi jkt mwenzenu hata wakisema jitolee miaka 4 nipo tayari
  12. C

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Jamani kama kuna mtu mwenye uwezo wakunisaidia niingie chomboni! Naomba anipe support! Najikuta nashindwa kufanya kazi nyingine yani nimechanganyikiwa na haya majeshi! Vyeti ninavyo pia umri unaruhusu! Elimu ni degree
  13. C

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Yaan binadamu wanakazi sana! Hapo utakuta kuna watu wanafurahi kusikia lonja kama hiyo! Rizik yako si lazima mtu fulani akose ww ndio upate! Sema ngoja tuangalie wasije wakaanza kulalamika tu
  14. C

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Sasa Subirini ya Jw! Yajayo yanafurahisha zaidi
Back
Top Bottom