Hivi kumbe kuipata hii ela kwa rushwa inawezekana ee, kuna m3 yangu nilikuwa nimeikatia tamaa ngoja nianze upya tena kuiomba, mwenye kumjua wa kufanya mchongo huu nssf ilala au ubungo nijulishe pls
Monopolism uliokusudiwa kabisa toka enzi za mwenda zake , badala ya kukaribisha watoa huduma wengi na kuweka vigezo nafuu ya kutoa huduma hii kwa makampuni mengine
Adhabu mbadala hamna?Si wampige hata faini kuliko kuzuia watu kupata mkate wao wa kila siku, madereva,makondakta na wafanyakazi wengine wa kampuni hii watakula wapi?
Moja wapo ya mifano mingi katika nchi hii kufanyika bila uhalisia. Mkopo nyumba 50m mshahara laki 6-8, bado mtu hajaishi na familia, katika uhalisia ni kitu ambacho hakipo. Hiyo ela ya marejesho/makato si mtu angejenga kibanda chake, na una kuta mtumishi akishindwa kumalizia mkopo marejesho yake...
Hiyo pekee haiwezi kuwa sababu, biashara kubwa kama ina kanuni zake za kiuweledi kuzingatia kusema tu mwendo mkali ndio imeua biashara sio kweli, mbona wengine kama Allys ,katarama n.k wanaendelea vizr tu' au unawatabiriaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.