Recent content by ClearingAgent

  1. ClearingAgent

    Natafuta gari kwa ajili ya Taksi - Mtandao

    Natafuta gari ya kufanyia taksi mtandao - maarufu Bolt. Uzoefu ni miaka mitano hapa Dar es Salaam. Kwa mwenye gari anipigie kwa namba 0618163635 au WhatsApp 0652802379 Gari ni IST, Sienta, Passo, Ractis, Raum au Vitz
  2. ClearingAgent

    Niulize chochote kinachohusu 'clearing' za mizigo bandarini

    TRA anaweza akalipia ila malipo ya bandarini mpaka meli ifike
  3. ClearingAgent

    Msamaha wa ushuru kwa vyombo vya usafiri(magari/pikipiki) kwa watumishi wa Umma

    Huo ndio utaratibu wao na watu wanafanya na wanafanikiwa. Pia kama mtumishi wa umma hana siri kwa serikali kama mshahara anapewa na serikali hivo serikali ikihitaji kukujua inakujua kwa kila kitu
  4. ClearingAgent

    Msamaha wa ushuru kwa vyombo vya usafiri(magari/pikipiki) kwa watumishi wa Umma

    Utangulizi Uzi huu unatoa maelezo kuhusu taratibu muhimu ambazo watumishi wa umma wanatakiwa kuzingatia wanapohitaji msamaha wa ushuru kwenye vyombo vya usafiri(magari/pikipiki). Aina ya vyombo vya usafiri vinavyohusika na msamaha (a) Magari (b) Pikipiki za aina zote Ushuru unaosamehewa...
  5. ClearingAgent

    Zijue gharama za kodi kabla hujaagiza gari

    Mbona kila gari kodi ipo wazi kwenye calculator yao ndo maana kuna umuhimu kabla ya kufanya uamuzi wa kuagiza gari ujue unatakiwa kulipia kodi zipi ili kupata makadilio ya kiasi unachotakiwa kulipa
  6. ClearingAgent

    Zijue gharama za kodi kabla hujaagiza gari

    Ni kweli ila sio kwamba ni dampo gari mpya ni ngumu ku-afford km wangeruhusu gari ziingie zilizo kiu ya mwaka 2015 je wangapi wangemiliki magari? Wamefanya hivo kila mtu anunue analomudu
  7. ClearingAgent

    Zijue gharama za kodi kabla hujaagiza gari

    Asante mkuu kwa ushauri wako Kwenye swala la kodi mfano ya TRA hii unaweza kusearch kwenye calculator ya TRA, shipping line inategemeana na wakala wa meli uliotumia bei zao hazifanani ila nyingi zinarange USD 50-70, Port charges inategemea na CMB za gari lako na agent fee kila kampuni wana bei zao.
  8. ClearingAgent

    Zijue gharama za kodi kabla hujaagiza gari

    Inategemea unataka imetengenezwa mwaka gani 2002,2003, 2004 na kuendelea
  9. ClearingAgent

    Zijue gharama za kodi kabla hujaagiza gari

    Ili ujue makadirio ya kodi lazima ujue ni aina gani ya gari, model yake, manufactured year mkuu
  10. ClearingAgent

    Zijue gharama za kodi kabla hujaagiza gari

    Habari zenu wana JF tupo hapa kukumbushana mambo kadhaa kuhusu maswala ya uwagizwaji wa magari. Unapotaka kuagiza gari ni vema kujua gharama za kodi linapofika bandarini itakufanya ujipime mfuko wako na kujipanga vizuri kwenye swala la kifedha kuepusha kushindwa kulipa gharama za kulitoa gari...
  11. ClearingAgent

    Niulize chochote kinachohusu 'clearing' za mizigo bandarini

    Asante kwa kuwasiliana nami.
  12. ClearingAgent

    Niulize chochote kinachohusu 'clearing' za mizigo bandarini

    Ndio ni ile document ya malipo kwa ajili ya manunuzi
Back
Top Bottom