Recent content by Clean Energies Group

  1. Clean Energies Group

    JamiiForums Tanzania Mashine ya kubadilisha Hewa ya Kabonidayoksaidi Kuwa Petroli Yagunduliwa

    Hapo unatumia plasma ndio njia rahisi ya kutoa hiyo oxygen wala sio gharama.
  2. Clean Energies Group

    JamiiForums Tanzania Mashine ya kubadilisha Hewa ya Kabonidayoksaidi Kuwa Petroli Yagunduliwa

    Teknolojia mpya imeibuka duniani ambayo inabadilisha hewa ya kabonidayoksaidi (CO₂) kuwa mafuta kama petroli na dizeli. Hili ni jambo la kihistoria kwa sababu linageuza gesi chafu inayoongeza ongezeko la joto duniani kuwa bidhaa yenye thamani inayotumika katika sekta ya usafirishaji na viwanda...
  3. Clean Energies Group

    JamiiForums Tanzania Usizime Moto wa Gesi, Mafuta au Umeme kwa Kutumia Maji badala yake Tumia Njia Hizi

    USIZIME MOTO WA GESI, MAFUTA AU UMEME KWA KUTUMIA MAJI! Maji yanaweza kusababisha hatari kubwa kama mshtuko wa umeme au mlipuko wa gesi! Tumia dry chemical powder fire extinguisher (ABC) au fire extinguisher inayofaa! Usalama kwanza, jifunze njia sahihi ya kuzima moto...
  4. Clean Energies Group

    JamiiForums Tanzania Mnaouza gesi msihifadhi mitungi ya gesi mnazouza ndani ya nyumba mnazoishi kwa usalama wenu

    Wafanyabiashara wa gesi, kumbukeni jambo hili la msingi kwa usalama wa familia zenu na wateja wenu: msihifadhi mitungi ya gesi mnazouza ndani ya nyumba mnazoishi. Mitungi ya gesi ni bidhaa yenye hatari kubwa ikiwa haitahifadhiwa kwenye mazingira sahihi. Gesi ikivuja ndani ya nyumba inaweza...
  5. Clean Energies Group

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa Watumiaji wa Gesi ya Kupikia

    TAHADHARI KWA WATUMIAJI WA GESI YA KUPIKIA Kama unatumia mtungi wa gesi jikoni, zingatia masharti haya ya usalama: 1. Kagua mara kwa mara Angalia mtungi, bomba (pipe) na jiko lako kila mara. Hakikisha havijachakaa, havijatoboka au kupasuka ili kuepuka uvujaji wa gesi. 2. Burner isiyo chakaa...
  6. Clean Energies Group

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa Watumiaji wa Gesi ya Kupikia

    Amen, karibu
  7. Clean Energies Group

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa Watumiaji wa Gesi ya Kupikia

    TAHADHARI KWA WATUMIAJI WA GESI YA KUPIKIA Kama unatumia mtungi wa gesi jikoni, zingatia masharti haya ya usalama: 1. Kagua mara kwa mara Angalia mtungi, bomba (pipe) na jiko lako kila mara. Hakikisha havijachakaa, havijatoboka au kupasuka ili kuepuka uvujaji wa gesi. 2. Burner isiyo chakaa...
Back
Top Bottom