Mi kifupi naona sijapangwa bado..... Maana wao wanapanga bila kujua hyu tunaempeleka yupo hai, mgonjwa mlemvu au anatatizo gani..... Na ikitokea anakuja kuomba kubadirishiwa anaulizwa una tatzo gani..... Lazima mwl anayejitambua anataka afanye kaz ili elimu iwe juu na sio kufuata mshahara kwani...
Hv inawezekana kuripot alafu usifanye kazi..... Hii nchi haijui mtu mzalendo... Mi najua mtu anaomba kubadirishiwa ili afanye kaz kwa ufanisi sasa hawataki kukusikiliza sasa sijajua wanataka tuigize
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.