Salam kwenu jukwaani.Mimi ni mwanamke wa miaka 32,nina mtoto mmoja na Sijawahi kuolewa.Nimejitokeza nikiwa na dhumuni thabiti la kupata mwenza.
Ninahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo
Awe tayari kujenga mahusiano.
Awe na umri kuanzia 34-44
Awe muwazi na mkweli.
Awe na shughuli ya kumpatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.