Recent content by ciza

  1. C

    kama unajua nielimishe.

    unaponunua computer (laptop au desktop) ni kipi cha kuangalia? ukianzia na hd iweje, ram ukubwa gani, processor na vingine. Nijuze kama unajua.
  2. C

    Huu ni umoja wetu

    Ni sisi wanamozambique (uwam). Any news kuhusu gharama; tutalipiwa?
  3. C

    Mozambique lini?

    kama vp tukaulizie kule kitarani(wizarani)
  4. C

    Mozambique lini?

    Tupo pamoja m2 wangu kama vp tupeane michakato yote jinsi inavyokuwa.
  5. C

    Mozambique lini?

    Naomba mnijuze kama mnafahamu
  6. C

    Wale wa" mozambique" wenzangu

    Kama una taarifa rasmi tafadhali naomba tujuzane
  7. C

    Schoolorship za mozambique

    Naomba maelezo au ufafanuzi kwa anayefahamu kuhusu zile schoolorship zilizotolewa kwa niaba ya serikali ya mozambique, kama ukichaguliwa utaratibu wake unakuwaje? Msaada kwa yeyote anayefahamu please!
Back
Top Bottom