Hawa w2 wanaovaa bendera za Tanzania [emoji1241] vchwa vyao maji sana, au pengine ndio wanaakisi uhalisia wa watanzani, kuna yule mkata mauno kangi pamoja na huyu nguchilo vichwa maji kabisa
Wew kama nani nyumbu mmoja wa njano,
Kwa lipi tuwapigie makofi wajinga nyie,
Kwa kuslow down project ya bwawa la Nyerere kwa maslahi yenu binafsi,
Kwa kuondoa malipo ya umeme ya 27,000/= , au kwa kulazimisha wamama wajawazito kuchanja chanjo ya korona kabla hawajajifungua.
Tukupigie makof...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.