Habari wanajukwaa!
Je, kuna utaratibu wowote kwa shule ya Sekondari kuamuru kumfukuza shule mtoto mwenye ufaulu hafifu?
Nimekutana na hii scenario katika shule moja ya Sekondari iliyopo mtaa wa Mabatini, Kata ya Mabatini, Wilaya ya Mbeya Jiji, Mkoa wa Mbeya. Hii shule inaitwa Mabatini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.