UMENIFUNDISHA KUFUNDISHA
Jumatatu moja tulivu, wanafunzi wa darasa la tano waliingia darasani baada ya kutoka Paredi. Mwalimu mgeni machoni mwao akaingia darasani. Wanafunzi wote wakasimama na kusalimia kama ada yao. Mwalimu akaitikia na kuwaruhusu wakae. Akaenda ubaoni na kuandika jina lake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.