Nilienda stationary moja nikaambiwa kuchapa nakala ni shilingi elfumoja kwa kila karatasi, jirani yake kkwa kila karatasi kuchapa ni 300, je huyu anaechapa kwa shilingi elfu moja biashara yake inakuwa na hali gani,
Mimi ni kijana wa kiume nina uvimbe kwenye chuchu moja la upande wa kulia na lnazidi kuvimba tu sasa miaka mitatu tangu lianze kuvimba naombeni ushauri nifanyeje na matibabu nayapataje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.