Recent content by Christian Kuboja

  1. C

    Inakuwaje bidhaa moja katika eneo moja inauzwa bei tofauti, hiyo hali inamuathirije ambae anauza bei ghari na anajua mwenzake anauza bei ya chini?

    Nilienda stationary moja nikaambiwa kuchapa nakala ni shilingi elfumoja kwa kila karatasi, jirani yake kkwa kila karatasi kuchapa ni 300, je huyu anaechapa kwa shilingi elfu moja biashara yake inakuwa na hali gani,
  2. C

    Nina uvimbe kwenye chuchu moja la upande wa kulia na lnazidi kuvimba tu sasa miaka mitatu

    Mimi ni kijana wa kiume nina uvimbe kwenye chuchu moja la upande wa kulia na lnazidi kuvimba tu sasa miaka mitatu tangu lianze kuvimba naombeni ushauri nifanyeje na matibabu nayapataje
Back
Top Bottom