Huwa tunasoma na kuelewa ndipo tunajibu, na sio kujibu ulichokisoma bila kukielewa, matokeo yake huwa ni jibu la ovyo. Ni vyema ukasoma maelezo yangu yote kwa usahihi na kuyaelewa [emoji120].
Sio motivesheni speakers ni 'motivational speakers" nimesoma mara mbili mbili ulicho andika nimegundua Kuna vitu viwili vimekosekana ndani yako, 1. Ukosefu wa maarifa sahihi 2. Uelewa finyo ulio nao jitahidi sana kusoma hivi vitabua #Rich Dad's Guide To Investment by Robert Kiyosaki na #The...
Unapo amua kufanya biashara ya mchele au kulima ni vyema ukawa na assurance ya soko kwa kipindi cha miaka miwili mpaka mitatu, Na hii ni raisi sana kwa ndani ya Tanzania ingia chimbo fanya utafiti wa undani zaidi pata information za kutosha then thanks me later. Bei ya mpunga ya geita uwezi...
1. I have a business idea ambayo nimeifanyia kazi na tafiti za kutosha kuanzia mwaka jana mpaka mwaka huu, morogoro kisaki wanalima sana mpunga,kipindi cha mavuno gunia la mpunga wanauza 35,000/= mpaka 45,000/= gunia la debe sita shambani, gharama za kusafirisha gunia moja mpaka godown gunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.