mimi nimepaka ila baadhi ya wadau ndio wameniambia hivyo,kwahiyo kuja kwangu hapa nilitaka kupata ufafanuzi kwa watu wengi zaidi maana najua kuna wengi wanayajua kuliko mimi
Wadau Habari zenu,
Naomba kufahamu zaidi kuhusu haya manukato (mafuta) yanayoitwa Bint Sudan ambayo watu tofauti huyatumia kama manukato tu ya kawaida na wengine tiba ya mambo tofauti kama kunuka KIKWAPA, lakini pia wengine hutumia kitaalamu zaidi kwa ajili ya kuondoa Nuksi na Mikosi.
Sasa...
Wadau Habari zenu,
Naomba kufahamu zaidi kuhusu haya manukato (mafuta) yanayoitwa Bint Sudan ambayo watu tofauti huyatumia kama manukato tu ya kawaida na wengine tiba ya mambo tofauti kama kunuka KIKWAPA, lakini pia wengine hutumia kitaalamu zaidi kwa ajili ya kuondoa Nuksi na Mikosi.
Sasa...
Habari wadau,Naomba msaada kwa anayejua dawa ya kutibu ugonjwa wa vipele mwilini hadi sehemu za siri maana imekuwa ngumu mwanangu wa kiume kupona tatizo hilo,ametumia dawa nyingi sana za hospitali lakini imeshindikana,kwa sasa ugonjwa una zaidi ya miezi mitatu ila imekuwa ngumu,yaani anawashwa...
Naweza kuwa anafanya makusudi ili kukuaminisha hakuwa mzinzi sana,hivyo jitahidi kumfanyia romance vizuri na ute ukiongezeka na akapata hisia kali basi ataacha kubana maana atahisi raha,hata kama ikiwa ngumu kuingia Ila ikiingia hata kuchwa tu basi lazima itaachia bila shida
Ndio limeanza hivi karibuni,Hilo la kubadilisha style na mazingira ndio nalifanyia kazi,nataka nitumie muda mrefu kidogo bila kushiriki tendo tuone kama inaweza kufanya kazi
Sidhani kama umeongea matusi,na humu kuna watu wazima tu kwahiyo hakuna maana ya kuficha ila ni kupunguza ukali wa maneno tu,
Tuna miaka saba kwenye ndoa alafu nishindwe kuperform hivi karibuni kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.