Tanzania tuna watu mbalimbali waliojaliwa vipaji vya akili na ubunifu wa hali ya juu. Serikali haijaweka mpango wa kuwatafuta watu hawa na kuwatengenezea mazingira ya kuwaweka pamoja ili waunganishe mawazo na kuleta ubunifu wenye tija katika maendeleo ya sayansi na teknolojia nchini.
Vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.