Recent content by Choro Elliot

  1. C

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Walimu halimashauri ya wilaya Kiteto hatujalipwa Pesa za kujikimu tangu Januari

    Nimeajiriwa Halimashauri ya wilaya Kiteto kuanzia mwezi wa kwanza lakini mpaka leo pesa za kujikimu kwa watumishi wapya upande wa ualimu hazijatolewa mazingira magumu naomba mtusaidie kupaza sauti maana Jamii Forums ndio umekuwa msaada wetu
Back
Top Bottom