Sa huyu naye mali zote nje ya mirathi kakabiziwa zote na ameanZa kuuza baadhi ya vitu kwa madai kwamba ye anarudi kuishi tu kwao huko...hakuna anayetaka mirathi hiyo ila watu wamekataa ushenzi aliofanya tu
Taarifa yote ipo kwenye thread hujaelewa unataka niseme nn kama ww unawaza kwamba kuna watu tunamendea mirathi , yaan mtu afoji sahihi yako na kwenda itumia mahakamani wakati anajua kbs mnaweza kukutana, je kama alibadili muhtasari akajiandkia mambo ambayo hamkukubaliana naye na ameghushi sahihi...
We ni mjinga sn vipengele vya kurekebisha vilitoka mahakamani siyo khs yeye bnafsi maana yake hata yeye hakuwa na shda na muhtasari wa ukoo ila alitaka tu shortcut akajirekebshia na kupga sahihi za watu hao waliopgiwa sahihi ndo hawataki sasa wanataka kujua kwann sahihi zao zfojiwe
Jamaa ni mjinga sn hivi unajua kufoji sahihi ya mtu na kuitumia kujinufaisha ni kosa kisheria na anaweza kukushtaki hayo mambo ya mirathi hakuna mwenye muda na hiyo mirathi wala huo muhtasari haukuwa na sehem yoyote ya kumuonea kuna vpengele aliambiwa na mahakama alete tumrekebshie haluja wala...
Haya njoo uungane naye sasa msaidzane karibu sn yaan mtu awekee sahihi fake watu halafu unataka wanyamaze siyo 🤔 ingekuwa ni kesi ya mauaji na tyr mtu kabandka watu na kawasainia ingekuaje 🖕
Sawa mke wa marehemu mi nataka na hivyo sasa
Liko wazi ni yeye tu 🤔 shida tu kujirekebishia muhtasari na kutia saini fake za watu ambao hawajui kmerekebishwa nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.