NAENDELEA PARTY 19
Nilianza upelelezi mzee kayatoa wp haya maneno na kwanini watu hao wamemwambia mzee hayo mambo wana malengo gani...
Mzee akanibadilikia kabisa mpka yule dada angu anayenifata siku 1 akaniuliza kwani baba ulimfanya nn mbona mlikuwa mnaelewana sn kimetokea nn nikamjibu mi sjui...
NAENDELEA PARTY 18
Wakati mimi nikiwa chuo huku nyuma raia wanapambana sana kuhakikisha naondolewa kwenye family ukizngatia mzee alikuwa ananikubali sana na hilo wanalijua.
Nilisoma vzr tu na mpaka nikamaliza, niliporudi home skurudi kinyonge nilishajiandaa kutorudi home kbs mzee alikuwa...
NAENDELEA PARTY 17
Toka siku hiyo ndo nikamjua mama yangu sasa ila hata skumjari kabisa na hata leo hii sina hisia za kwamba nina mama ingawa akipataga namba yangu ananitafuta na nampa chochote ila sasa simpi kwa kuskia ndani kwamba nampa mama hapana.
Nilipomaliza drs la 7 sasa aunt alinirudsha...
NAENDELEA PARTY 16
Turudi sasa kule kwa wazazi
Tulizaliwa watoto watatu mimi nikiwa first born kabisa kisha akafata my young sister kisha dogo wa kiume wa mwisho.
Binafsi nimelelewa na kukulia kwa aunt na moka nahitimu drs la 7 nilikuwa najua ndiye mama yangu na nilimuita hivyo na ilinichukua...
NAENDELEA PARTY 15
Kwa masikitiko makubwa sana ndugu zanguni huyo ndugu yangu huyo ndugu yangu wa kagera alifariki kwa ajari mbaya sana ya pikipiki aligonga lori lililokuwa limepaki mnamo tarehe 21 June 2026 namshukuru sana Mungu kwaajili ya maisha yake na bahati kubwa sana ya kuweza kuishi...
NAENDELEA PARTY 14
Narudi kwa ndugu yangu wa kagera nikiwa pale kwenye pool table yake, nilikuwa na nidhamu sana sana kila kidogo nilichopata nilikuwa nahakikisha nafika nacho home natunza zingne naweka kwenye simu.
Yule ndugu yangu wa pool table yeye alikuwa kaajiliwa ni askari shida yake...
NAENDELEA PARTY 13
Sasa naanza nilipokuwa huko kwa ndugu yangu sana na si ndugu yangu tu pia alikuwa rafiki yangu sana yule mtoto wa aunt yangu...
Wakati naendelea kuumiza kichwa nitoke vipi huku nikiwa na ka akiba kangu nakatumia kwa nidhamu sana nilikuwa nanunua vitu siku ya mnada viazi...
Sa why not 🚫 mjomba 🤔 mbususu haina uhusiano na hali ya mtu uwe nazo au usiwe nazo muhimu mwanamke akuelewe , kama unabisha pata mwanamke awe na hisia na ww akupende ndo utajua kumbe na wao wanahonga...
Formula yangu sihongagi mwanamke ila natongoza anielewe kama ni hela nimpe tu kwa kuamua si...
NAENDELEA PARTY 12
Nilipofika hapo kwa ndugu yangu mwanza aliyesema mwanzo kwamba nitafute pa kulala, story story kweli kesho yake yule sister alifika na nilimpokea kule kazini akiwa na matumaini kibao akiamini sasa kazi kapata maana kama ameambiwa aje kazini reporting.
Nilicheka sn kimoyomoyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.