Hakuna dhambi ndogo wala kubwa na hakuna isiyosameheka, muongo, mfiraji nk nk wote dhambi zna mzani sawa, jtu siyo firaji ila ni liongo linafk hatari useme lina uafadhari wkt zote ni dhambi tu.
Home ukikosea unatandkwa na mama halafu mzee naye akirud jion kaz inaanza moya, ilikuwa unapgwa hadi unazuga umezmia unakula mboko mpk utajiinua tu, na hakuna kukimbia ukikmbia ujue ukgeuka zoez linaanza moya..shaaabashiiii. Hakuna kunawa kabla ya wakubwa hata kama umemaliza kula mapema...
Ninachojua dunia iliingia kwny machafuko makubwa sn baada ya ujio wa dini iitwayo uislam bfore hapo hakukuwa na machafuko ya kdini, eti dini ya kulazmisha watu, dini ya kutaka kutawala ksiasa si ufala huo.
Kupga tofari aisee aisee haya bhana..degree bongo ni ufala kbs boom wangenpa kama mtaji ningeshawalipa pesa ya kodi za watanganyika nahisi nlipoteza muda wng tu kusoma mpk degree.
Daaah na mm nakula mke wa mtu shda jamaa yake hayupo home anamaliza hata miez 3 yupo kwny ujenz wa mabarabara, alipata mimba ila haikuwa yangu n ya mumewe japo inasemekana mume akaenda shtaki kwao kwmb mimba si yake ila akawa hamwambii mkewe ila mimba ilitoka, jamaa kila sku bifu na mkewe...
Ajabu mpka kesho mpk miaka ijayo tecno hawajawahi kutoa simu yoyote ya kuizidi ubora samsung ya kizamani sn note 9 tu kusanya tecno zote unazozjua ikiwemo na hii yenye makorokoro zpambanishe na hiyo note 9 hapo sjafika hata kwenye baba lao note 20 ultra 🔥 🔥 🔥 🔥 💪
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.