Recent content by Choosen85

  1. Choosen85

    Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

    Hakuna dhambi ndogo wala kubwa na hakuna isiyosameheka, muongo, mfiraji nk nk wote dhambi zna mzani sawa, jtu siyo firaji ila ni liongo linafk hatari useme lina uafadhari wkt zote ni dhambi tu.
  2. Choosen85

    Namuonea huruma Abbas Aradgchi

    sa kwann wanajifchaficha kwny mapango na kuskojulikana si wajtokeze wote hadharan ili wafie imani na tuamin kwamba hawaogopi kifo.
  3. Choosen85

    Kwa wanaume tu: Kabla ya kumuoa binti, jitahidi umjue mama yake!

    punguza kutumia wanzuki kama mbadala wa akili..
  4. Choosen85

    Bandari ya Hormozgan huko Iran imeshambuliwa na Ndege-Vita za Israel!!

    hivi uarabuni na iran hakuna mashoga?
  5. Choosen85

    Vituko majaribu na mitego ya mashemeji

    kwaiyo mkuu ulikuwa unajilia ndogo tu? Si naskiaga wanawake hawaskii utamu wakiliwa ndogo.
  6. Choosen85

    Tuliyaishi haya zamani yetu, sasa yamebaki kumbukumbu ya kuvutia kama si kuchekesha

    Home ukikosea unatandkwa na mama halafu mzee naye akirud jion kaz inaanza moya, ilikuwa unapgwa hadi unazuga umezmia unakula mboko mpk utajiinua tu, na hakuna kukimbia ukikmbia ujue ukgeuka zoez linaanza moya..shaaabashiiii. Hakuna kunawa kabla ya wakubwa hata kama umemaliza kula mapema...
  7. Choosen85

    Dunia Haiwezi kuwa na Amani endapo kizazi cha Israel bado kipo hai

    Ninachojua dunia iliingia kwny machafuko makubwa sn baada ya ujio wa dini iitwayo uislam bfore hapo hakukuwa na machafuko ya kdini, eti dini ya kulazmisha watu, dini ya kutaka kutawala ksiasa si ufala huo.
  8. Choosen85

    Uliwahi kufanya kazi gani ngumu mpaka ukasema Bora nife njaa

    Kupga tofari aisee aisee haya bhana..degree bongo ni ufala kbs boom wangenpa kama mtaji ningeshawalipa pesa ya kodi za watanganyika nahisi nlipoteza muda wng tu kusoma mpk degree.
  9. Choosen85

    Kuna jamaa mmoja wa bodaboda hapa mtaani namchapia mke wake Sasa nahisi kama ameanza kujua

    Daaah na mm nakula mke wa mtu shda jamaa yake hayupo home anamaliza hata miez 3 yupo kwny ujenz wa mabarabara, alipata mimba ila haikuwa yangu n ya mumewe japo inasemekana mume akaenda shtaki kwao kwmb mimba si yake ila akawa hamwambii mkewe ila mimba ilitoka, jamaa kila sku bifu na mkewe...
  10. Choosen85

    Maaajbu Ya Simu Tecno Toleo 2026

    Ajabu mpka kesho mpk miaka ijayo tecno hawajawahi kutoa simu yoyote ya kuizidi ubora samsung ya kizamani sn note 9 tu kusanya tecno zote unazozjua ikiwemo na hii yenye makorokoro zpambanishe na hiyo note 9 hapo sjafika hata kwenye baba lao note 20 ultra 🔥 🔥 🔥 🔥 💪
  11. Choosen85

    Yanayojili mgogoro wa Iran, Marekani na Israel

    Kinachoshangaza iweje Israel kaweza peleka ndege tena ndani ya Iran pamoja na zana na silaha zote ambazo Urusi na China wamepeleka?
Back
Top Bottom