Recent content by chodogist

  1. chodogist

    JamiiForums Tanzania Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

    [emoji23][emoji23][emoji23]kuna comments za ajabu humu mpaka zinakufanya uwe stressfree,ila kuwahi au kuchelewa ni maneno tu ya kijiweni kuna wengine tumetahiriwa hatujitambui but mashaAllah mashine c za kitoto zinapoinuka pengine na afya ya mtoto toka anakua na mapitio yake kiujumla yanaweza...
  2. chodogist

    JamiiForums Tanzania Simu yangu nikitaka kupiga picha inaandika hivi....hizo apps ni zipi wandugu maana hadi nimerestore lakn bado

    ikikubali nakunya mimi,hapo kazi ipoo mi nimesuffer sana na hilo tatizo na sio tatizo dogo kama mnavyofikiria nyie ila msubirini atakuja kuwambia kimbembe atakachokutana nacho,kikubwa hapo ni safari kwenda TECNO atatengenezewa bure kabisa na nasikia hata ukiwauliza kwa nini imekuwa hivyo...
  3. chodogist

    JamiiForums Tanzania Simu yangu nikitaka kupiga picha inaandika hivi....hizo apps ni zipi wandugu maana hadi nimerestore lakn bado

    hahaha so rahisi kama tunavyodhani mi mwenyewe ni muhanga wa hilo na nimehangaika kuclear cache mara cjui kuforce stop dakika ya mwisho mpaka nikairestore simu na bado sikuambulia kitu hapo ajipange kwenda tecno tu mi nliambiwa hivyo na fundi mkubwa tu ambaye hakutaka kunipotezea muda wangu na...
  4. chodogist

    JamiiForums Tanzania Simu yangu nikitaka kupiga picha inaandika hivi....hizo apps ni zipi wandugu maana hadi nimerestore lakn bado

    hilo tatizo hata mimi nimekutana nalo na nahisi simu yako ni TECNO K9 kama sijakosea ila cha kukushauri usitafute fundi yeyote wala mtaalamu yeyote we cha kufanya nenda kwa wenyewe TECNO ndo nimesikia wao ndo wana uwezo wa kufix hilo tatizo mimi mwenyewe nmeambiwa jumatatu asubuhi niipeleke nami...
Back
Top Bottom