Recent content by Chochuba

  1. C

    Kashfa ya Ufisadi Bandari ya Dar

    Hata huko bandarini juzi tumesikia kuwa wakurugenzi wamepisha uchunguzi. kwani hiyo ndio solution? mbona mambo ni yaleyale tu. kikubwa watupishe hata siku 100 tu waone maendeleo. wezi wakubwa haoooooooooo.
  2. C

    Kashfa ya Ufisadi Bandari ya Dar

    Maisha bora kwa kila mtanzania ndio ilikuwa kauli mbiu yao, sasa ivi inawapasa wabadilishe kauli na kusema ni maisha bora kwa kila polisi, hakuna lililo zuri kwa hawa waheshimiwa wenzetu, sio bandari tu bali ni kila kitu. sasa mnalalamika kuusu bandari kwani wakilekebisha huduma za bandarini...
Back
Top Bottom